Jeshi la Israel lajiandaa na uvamizi wa ardhini Rafah
Jeshi la Israel limesema leo linapeleka vitengo viwili vya vikosi vya akiba katika Ukanda wa Gaza. Hatua hiyo imechukuliwa wakati inajiandaa na uvamizi wa ardhini katika mji wa kusini mwa Rafah. Jeshi limesema vikosi hivyo vitafanya operesheni za ulinzi na mbinu lakini halikutoa maelezo zaidi kuhusu mpango wenyewe. Vita kati ya Israel na Hamas vilianza baada ya shambulizi la Oktoba 7, ambapo Hamas walivishitukiza vikosi vya ulinzi mbalimbali vya Israel na kuvamia jamii kadhaa, wanamgambo hao wa Palestina waliwauwa watu 1,200, wengi wao raia.
#Haifa #waelaldahdouh #hamzaaldahdouh #shirikalamwezimwekundu
#Rafah #Netanyahu #Misri #Hamas #Gaza #Palestina #IDF #GalMeirEizenkot #mauaji #jeshi #israel #voa #voaswahili #mwandishi #aljazeera #maghazi
17 May 2024
- The UNESCO General Conference in November 2021 proclaimed July 7 each year as World Kiswahili Language Day.
17 May 2024
- The deployment was set to coincide with President William Ruto's state visit to the USA.
17 May 2024
- It was also alleged that the government removed the tarmac leading to the embassy.
17 May 2024
- Approximately 200 Kenyan police officers will be deployed to Haiti next week as part of the UN Security Council-backed security mission to Port-au-Prince.
17 May 2024
- Taiwanese lawmakers shoved, tackled and hit each other in parliament on Friday in a bitter dispute about reforms to the chamber, just days before President-elect Lai Ching-te takes office without a legislative majority.
17 May 2024
- Parliament has raised the red flag over alleged massive graft in the issuance of capitation funds to Junior Secondary Schools (JSS) across the country.
17 May 2024
- National Assembly Finance Committee Chairman and Molo MP Kuria Kimani has shed light on the rationale behind the Treasury's proposal to introduce a 16% Value Added Tax (VAT) on bread.
17 May 2024
- Okello becomes the first African jurist to hold the position in the body’s 40-year history.
17 May 2024
- Project is aimed at reducing rural poverty and food insecurity among smallholder farmers in arid and semi-arid lands.
17 May 2024
- Karua group is expected to make a major statement at Limuru III meeting
17 May 2024
- It is feared that more than 4.5 million learners who depend on school meals are at risk of dropping out
17 May 2024
- Reading Time: 2 minutes Isiolo County has been hit hard by flooding after River Ewaso Nyiro burst its banks, displacing 708 p****e in the […]
17 May 2024
- However, Waititu had not publicly indicated his participation.