- 3,461 views
Idara ya utabiri wa hali ya anga nchini imetoa tahadhari ya upepo mkali na kimbunga kwa watu wanaoishi maeneo ya Pwani ya Kenya kuanzia leo hadi jumatatu ijayo. Kwa mujibu wa idara hii, eneo la mwambao wa pwani litashuhudia mawimbi mazito baharini, kwenye hali iliyochangiwa na kimbunga kinachofahamika kama Hidaya ambacho kimeanza kushuhudiwa katika visiwa vya Comoros. Kimbunga hicho kinatarajiwa kuongeza maradufu viwango vya mvua. Aidha, Katika muda wa saa 24, maeneo kama Ziwa Victoria, Bonde la ufa, magharibi na mashariki mwa nyanda za juu za bonde la ufa pamoja na Nairobi zitashuhudia makali ya hali ya hewa kuanzia leo hadi tarehe tano mwezi huu. Mvua kubwa zinatarajiwa kuathiri kaunti arobaini na mbili nchini. Sasa Wananchi wametakiwa kuchukua tahadhari kutokana na kushuhudiwa kwa mafuriko ya ghafla na hata ukungu kushuhudiwa maeneo mengine na kutatiza watu kuona. Taarifa hii imewasilishwa kwa Rais, baraza la mawaziri pamoja na idara zinazohusika na masuala ya mazingira, misitu na majanga.
Kimbunga Hidaya kushuhudiwa mwambao wa Pwani
- 17 May 2024 - Israeli government splits over the war in Gaza broke open this week, after the Defence Minister publicly demanded a clear strategy from Prime Minister Benjamin Netanyahu as troops returned to battle Hamas fighters in areas thought to have been cleared…
- 17 May 2024 - 23-year-old Maseno University student arrested over alleged rape of two first years
- 17 May 2024 - The IMF directors, who toured Kenya last month, sought to review the program before approving the loan.
- 17 May 2024 - At 73, Mr Modi remains a massively popular yet polarising figure, both in India and abroad.
- 17 May 2024 - Kajiado Governor Joseph Ole Lenku is on the spot over allegedly engaging in bipartisan campaigns of the Keekonyokie trust land officials elections slated for next week, 24th. Ole Lenku on Wednesday attended a campaign rally allied to one faction seeking…
- 17 May 2024 - Harvest road runoff to reduce water scarcity
- 17 May 2024 - Mombasa planned to introduce a raft of measures, including an increase in cess charges on muguka trucks
- 17 May 2024 - The cops in Kapenguria rode for at least 3Kms with the body tied on the motorcycle to their official vehicle.
- 17 May 2024 - Summit appears to have split the populous Mt Kenya region down the middle.
- 17 May 2024 - Israel’s soldiers are sharing footage of Palestinian detentions in the occupied West Bank, despite the army’s pledge to act on previous misconduct revealed by the BBC. Legal experts say the filming, and its posting online, could be a war crime. The BBC…