- 246 views
Mawaziri Alfred Mutua wa utalii na mwenzake Soipan Tuya wa mazingira wameongoza shughuli ya upanzi wa miti katika msitu wa Mumoni eneobunge la Mwingi kaskazini.
Akizungumza baada ya zoezi hilo, Mutua amesema kuwa lengo la upanzi wa miti ni kuafikia miti bilioni 15 kufikia mwaka wa 2032 kama alivyoahidi rais william ruto ili kukabili athari za mabadiliko ya tabianchi. Mawaziri wamepewa jukumu la kuongoza upanzi wa miti kila mwezi katika kaunti mbalimbali. Miche milioni nne imepangiwa kupandwa katika kaunti za Taita Taveta na Kitui kufikia mwaka ujao.
Mawaziri Mutua na Tuya waongoza shughuli ya upanzi wa miti Mwingi
- 15 Jun 2024 - The Group of Seven wealthy democracies announced Thursday that it would provide Kyiv with tens of billions of dollars in loans that will be paid back to Western allies using interest income from Russian assets frozen in Western financial institutions.
- 15 Jun 2024 - The Teachers Service Commission (TSC) has replaced some of the 742 Junior Secondary School (JSS) teachers recently fired across the country.
- 14 Jun 2024 - DP Rigathi Gachagua has come out to defend his recent political stance that has put him at loggerheads with a section of leaders in the Kenya Kwanza coalition as well as Central region.
- 14 Jun 2024 - These are the stories making the headlines in the Star.
- 14 Jun 2024 - The Public Service CS said he lost the account to hackers on April 14.
- 14 Jun 2024 - The borehole will benefit over 8,000 residents of Kasikeu ward in Makueni county.
- 14 Jun 2024 - Why recalling your area MP is a stale dream - Lawyer
- 14 Jun 2024 - The Judiciary on Friday organized a psycho-social counselling and support session to its staff stationed at the Makadara Law Courts following an incident where a magistrate was shot.
- 14 Jun 2024 - Lenana School Primary was conceived after a 2019 building tragedy.
- 14 Jun 2024 - Sickle cell anaemia prevalance in Kenya is estimated at 1-4.5 per cent