Polisi wavamia Chuo Kikuu cha Columbia kutokana na maandamano
Mamia ya waandamanaji wamekamatwa wakati wa operesheni ya usiku katika Chuo Kikuu cha Columbia huko New York City.
Waandamanaji wanaounga mkono Palestina walikuwa wametawala jengo la chuo hicho hapo awali.
Idara ya Polisi ya New York inasema jengo na hema lililokuwa chuoni hapo limesambaratishwa.
Wakati huo huo, waandamanaji wanaounga mkono Israel walikabiliana na waandamanaji katika kambi zinazounga mkono Palestina huko Los Angeles, saa chache baada ya polisi kutawanya maandamano ya huko New York.
Vyuo vikuu vya Marekani vimekuwa na maandamano huku wanafunzi wakidai kususia makampuni na watu binafsi wenye uhusiano na Israel wakati wa vita huko Gaza.
#bbbcswahili #marekani #gaza Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw
17 May 2024
- The IMF directors, who toured Kenya last month, sought to review the program before approving the loan.
17 May 2024
- The proposal would have seen bread prices increase by over Ksh10.
17 May 2024
- Detectives noted investigations were ongoing to arrest his accomplices.
17 May 2024
- Israeli government splits over the war in Gaza broke open this week, after the Defence Minister publicly demanded a clear strategy from Prime Minister Benjamin Netanyahu as troops returned to battle Hamas fighters in areas thought to have been cleared…
17 May 2024
- 23-year-old Maseno University student arrested over alleged rape of two first years
17 May 2024
- The IMF directors, who toured Kenya last month, sought to review the program before approving the loan.
17 May 2024
- At 73, Mr Modi remains a massively popular yet polarising figure, both in India and abroad.
17 May 2024
- Kajiado Governor Joseph Ole Lenku is on the spot over allegedly engaging in bipartisan campaigns of the Keekonyokie trust land officials elections slated for next week, 24th. Ole Lenku on Wednesday attended a campaign rally allied to one faction seeking…
17 May 2024
- Harvest road runoff to reduce water scarcity
17 May 2024
- Mombasa planned to introduce a raft of measures, including an increase in cess charges on muguka trucks
17 May 2024
- The cops in Kapenguria rode for at least 3Kms with the body tied on the motorcycle to their official vehicle.
17 May 2024
- Summit appears to have split the populous Mt Kenya region down the middle.
17 May 2024
- Israel’s soldiers are sharing footage of Palestinian detentions in the occupied West Bank, despite the army’s pledge to act on previous misconduct revealed by the BBC. Legal experts say the filming, and its posting online, could be a war crime. The BBC…