Trump na Biden wanafursa katika sera ya bhangi uchaguzi mkuu
Bhangi ni suala nadra la makubaliano katika Amerika iliyogawanyika kisiasa, huku ukusanyaji maoni ukionyesha kwamba asilimia 88 ya Wamarekani wanaunga mkono walau kwa kiasi fulani kuhalalisha bhangi.
Lakini watetezi wa bhangi wanasema hakuna mgombea hata mmoja wa juu wa urais anatumia mitazamo inayobadilika.
Takriban robo tatu ya Wamarekani wanaishi katika majimbo ambako bhangi ni halali kutumiwa kwa ajili ya matibabu. Nusu ya idadi ya watu wanaishi katika maeneo ambako bBhangi inaruhusiwa kwa starehe.
Lakini Bhangi bado inaendelea kutizamwa kuwa si halali kwa mujibu wa sheria ya serikali kuu, ambako imewekwa pamoja na heroine na LSD kama dawa isiyo ya matumizi ya matibabu yanayokubalika kwa hivi sasa na kuna uwezekano mkubwa ikatumiwa vibaya.
Idadi kubwa ya wapiga kura wa Marekani ambao wanadhani kwamba ni vyema mabadiliko yafanyike kwa bhangi ni fursa muafaka kwa wagombea urais Joe Biden na Donald Trump, hasa miongoni mwa wapiga kura vijana, kwa mujibu ….. . … Scotty Smart, ambaye ni mratibu wa jumuiya katika kundi la kiraia la New Georgia Project.
Scotty Smart, New Georgia Project anaeleza: “Watu wengi hawaelewi sera. Watu wengi hawafahamu jinsi sera zinavyoathiri maisha ya kila siku. Nadhani banghi ni suala ambalo linachochea na kuwasisimua vijana wadogo kulipa mtizamo.”
Caroline Phillips, National Cannabis Festival amesema: “Kwa wote hao, jambo moja ambalo wanafana ni kwamba rekodi yao juu ya bhangi imekuwa haiendani na inaongezeka. Tumesikia ahadi kutoka kwa tawala zote mbili, hakuna hata moja
ambaye amejitokeza wazi wazi.”
#bhangi #marekani #siasa #wamarekani #wagombea #urais #uchaguzi #voa #voaswahili #dunianileo #donaldtrump #joebiden
17 May 2024
- The Kenya Met boss also issued a weather forecast for the Nairobi metropolis.
17 May 2024
- The IMF directors, who toured Kenya last month, sought to review the program before approving the loan.
17 May 2024
- The proposal would have seen bread prices increase by over Ksh10.
17 May 2024
- Parliament has raised the red flag over alleged massive graft in the issuance of capitation funds to Junior Secondary Schools (JSS) across the country.
17 May 2024
- National Assembly Finance Committee Chairman and Molo MP Kuria Kimani has shed light on the rationale behind the Treasury's proposal to introduce a 16% Value Added Tax (VAT) on bread.
17 May 2024
- Israeli government splits over the war in Gaza broke open this week, after the Defence Minister publicly demanded a clear strategy from Prime Minister Benjamin Netanyahu as troops returned to battle Hamas fighters in areas thought to have been cleared…
17 May 2024
- Former presidential candidate speaks about his new political project.
17 May 2024
- KIRINYAGA, Kenya, May 17 – Kirinyaga Governor exert criticises supporters of the One Man, One Vote, One Shilling Formula. Governor Ann Waiguru has cancelled the much-anticipated Limuru 3 meeting slated for tomorrow, blaming the organisers. Speaking at a…
17 May 2024
- NAIROBI, Kenya, May 17 – Kenya and Uganda on Thursday signed a tripartite agreement on the importation and transit of petroleum products through the two countries. President William Ruto said the agreement will enable Uganda to import refined petroleum…
17 May 2024
- 23-year-old Maseno University student arrested over alleged rape of two first years
17 May 2024
- The first team of 200 police officers is due to land in Haiti next week.
17 May 2024
- NAIROBI, Kenya May 17 – Details have shown how Statehouse intends to expend Sh1.5 billion in the financial year 2024/2025 for the construction and renovations of state house and lodges which commenced in 2015. Documents tabled before the National…
17 May 2024
- DP had called on the two to consult him as a senior leader on matters concerning the Mt Kenya region.