- 106 views
Viongozi wa serikli katika eneo bunge la Budalangi kaunti ya Busia wametakiwa kuwa macho ili kuhakikisha chakula cha msaada kwa waathiriwa wa mafuriko kilichoko katika ghala la makao makuu ya kaunti ndogo ya Bunyala, hakiuzwi. Naibu kamishna wa kaunti ndogo ya Bunyala Paul Papa amesema kuwa ni jambo la kusikitisha kuona kwamba chakula hicho huuzwa na hata kupotea kutoka kwenye ghala hilo huku maelfu ya waliokusudiwa kufaidika wakiendelea kutaabika na njaa.
Waathiriwa wa mafuriko Budalangi wapewa chakula cha msaada
- 1 Jun 2024 - The Ethics and Anti-Corruption Commission (EACC) has arrested key officials of the National Industrial Training Authority (NITA) over alleged involvement in a corruption scandal.
- 1 Jun 2024 - President William Ruto on Saturday issued a stern warning to land grabbers, highlighting their negative impact on Kenya's development goals.
- 1 Jun 2024 - Junior Secondary School teachers have signed a return to work formula to end their three-week strike.
- 1 Jun 2024 - NTSA noted that the reforms would help them address the rising concerns among stakeholders.
- 1 Jun 2024 - President William Ruto has announced that Kenya will in future shift away from importing shoes and instead focus on bolstering local footwear manufacturing.
- 1 Jun 2024 - Current vaccine stocks will last for just one month, leaving children unprotected
- 1 Jun 2024 - Hamas said it views the proposal "positively".
- 1 Jun 2024 - Ruto announced that his administration aims to raise annual footwear production from 8 million pairs to 36 million pairs, worth Sh72 billion, within the next three years.
- 1 Jun 2024 - By integrating digital tools and resources into curricula, students are prepared for the future job market.
- 1 Jun 2024 - The reduced prices are expected to be a huge boon for farmers on account of projected increased productivity.