- 16 views
Huku shughuli ya wanafunzi ya kujiunga na chuo kikuu ikiendelea, Felix Kimanzi amejipata katika wakati mgumu kwani familia yake haiwezi kumlipia karo ya masomo yake ya chuo kikuu. Felix alikamilisha mtihani wake wa kitaifa wa masomo ya shule ya upili na kupata alama ya B wastani lakini hana uwezo wa kulipa karo inayohitajika ya shilingi 132,000 ya kujiunga na chuo kikuu cha Kabarak. Kimanzi alipokea barua ya kujiunga na chuo hicho ili kusomea kozi ya uanasheria tarehe 4 mwezi huu lakini bado yupo nyumbani. Sasa anatoa wito kwa wahisani kumsaidia ili aweze kutimiza ndoto yake ya kuwa mwanasheria.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.com/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1tv Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#KBCchannel1 #Kenya #News
Felix atoa wito kwa wahisani kumfadhili kujiunga na chuo kikuu cha Kabarak
- - LIVE| NEWS NOW ››
- 19 May 2024 - Hundreds of protesters in Peru's capital marched on Friday to demand the scrapping of a new law that describes transgender people, among others, as having a mental illness so they can access health benefits.
- 19 May 2024 - Israeli troops and tanks pushed on Saturday into parts of a congested northern Gaza Strip district that they had previously skirted in the more than seven-month-old war, killing and wounding dozens of Palestinians, medics and residents said.
- 19 May 2024 - Slovakia's health minister said Saturday the prognosis for Prime Minister Robert Fico was "positive" after an assassination attempt as a court put the suspected gunman in pre-trial detention.
- 19 May 2024 - Hundreds of residents from Cheptigit village in Kerio Valley will spend the night in the cold after the Kenya Wildlife Service (KWS) embarked on the demolition of houses for what it terms as encroachment.
- 19 May 2024 - The Orange Democratic Movement (ODM) party MPs have rallied to have the Azimio coalition shoot down the Finance Bill, 2024 terming it punitive and unbearable.
- 19 May 2024 - Police are investigating an incident in which a young man was shot dead during a violent confrontation between rival groups in Thika, Kiambu County, on Friday evening.
- 19 May 2024 - Gachagua expected to fight back after week of silence amid attacks
- 19 May 2024 - Police probe fatal shooting incident over market space dispute
- 19 May 2024 - 10,000 gather for Bohra spiritual leader's week-long celebrations
- 19 May 2024 - Firm charts green energy path with low-carbon emission engines