- 374 views
Shabiki Kaende Jackpot imetoa zawadi ya pesa taslimu shilingi milioni mbili nukta tano kwa washindi watano waliojinyakulia shilingi nusu milioni kila wiki tangu kuzinduliwa. Mshindi wa wiki hii alikuwa Hannah Watiri, mfanyakazi wa vibarua kutoka Kabete, Kaunti ya Kiambu. Hannah ndiye mwanamke wa kwanza kushinda mchezo huu. Hannah alibashiri kwa usahihi mechi 12 kati ya 13. Anaungana na washindi wengine Paul Mwaniki na Emmanuel Simiyu ambao wote walipata ubashiri wa mechi 11 kati ya 13. Kumbuka kunyakua likizo yako ya Pasaka mapema kwa kucheza shabiki kaende Jackpot kwa kutuma neno KJP kwa 29063 kwa shilingi 50 pekee.
Hannah Wateri ashinda ksh.500,000 za Shabiki Kaende Jackpot
- 21 Sep 2024 - Deputy President Rigathi Gachagua has seemingly shut down ongoing conversations about the Mt. Kenya kingship, declaring former President Uhuru Kenyatta as the region’s undisputed leader.
- 21 Sep 2024 - DP Rigathi Gachagua says he is not aware of a formal agreement, if any, between President William Ruto and former Prime Minister Raila Odinga on the formation of a broad-based government.
- 21 Sep 2024 - Deputy President Rigathi Gachagua has seemingly confirmed the existence of discord between himself and his boss, President William Ruto, amid his silence during a time when the Head of State’s allies have subjected him to endless insults.
- 21 Sep 2024 - Deputy President Rigathi Gachagua has set the record straight on the events leading up to him missing a church function in Nyeri County on Sunday, September 15, which President William Ruto also attended.
- 21 Sep 2024 - Deputy President Rigathi Gachagua has spoken about why he has been missing out on some key national events attended by State officers and his boss, President William Ruto.
- 21 Sep 2024 - Deputy President Rigathi Gachagua has opened a Pandora's box in the Kenya Kwanza administration after he revealed that a section of Members of Parliament are being bribed and intimidated in a bid to move an impeachment motion against him.
- 21 Sep 2024 - Ongoing labour unrests are early signs of an economy that's about to collapse
- 21 Sep 2024 - Blow to MPs as courts spell the death of NG-CDF
- 21 Sep 2024 - University workers' unions reject CS Ogamba's return-to-work deal
- 21 Sep 2024 - After Shakahola forest massacre, residents face economic hardship