- 204 views
Kamati ya bunge kuhusu uchukuzi na miundomsingi imetoa hakikisho kuwa serikali itakarabati au kujenga upya Barabara, madaraja na miundomsingi nyingine iliyoharibiwa na mafuriko humu nchini. Akizuru eneo la Kandongu huko mwea , kaunti ya Kirinyaga, mwenyekiti wa kamati hiyo George Kariuki, amesema kuwa zaidi ya kilomita 560 za barabara zitajengwa katika eneo la mradi ya unyunyizaji maji la mwea ili kuimarisha miundomsingi itakayosaidia ukulima wa mpunga. zaidi ya watu 600 kaunti ya Kirinyaga wameathriika na mafuriko. mafuriko hayo pia yameathiri shule eneo la mwea.
Kamati ya bunge yatathmini uhalibifu wa barabara eneo la Mwea
- - LIVE| NEWS NOW ››
- 19 May 2024 - The bereaved father, who lives near the Rumaila field in the southern province of Basra, is demanding that the firm compensate him for his son Ali's medical expenses, which have left him in crushing debt.
- 19 May 2024 - The fishing vessel got into difficulty on Friday but local officials said they had not given up hope for the men, despite air and sea searches turning up no trace.
- 19 May 2024 - Usukhjargal Tsedendamba, 53, and Purevsuren Lkhagvajav, 31, were last in contact Sunday evening from Camp 4, which is situated less than a kilometre (0.6 miles) below the summit.
- 19 May 2024 - This is the second time Ruto is hosting Somalia President in Nairobi in less than two months.
- 19 May 2024 - Police probe fatal shooting incident over market space dispute
- 19 May 2024 - 10,000 gather for Bohra spiritual leader's week-long celebrations
- 19 May 2024 - Ruto allies accuse leaders of tribalism over Limuru 3
- 19 May 2024 - Why IMF policies cannot align with bottom-up agenda
- 19 May 2024 - Mr Gantz set an 8 June deadline for a plan to achieve six "strategic goals".
- 19 May 2024 - Is it possible that a crack has emerged between him and his boss?