- 246 views
Serikali ya kaunti ya Kajiado imepiga marufuku shuguli zozote zinazohusu hewa ya kaboni hadi pale kutakuwepo na mkataba mwafaka baina ya wakazi na kampuni zinazoendesha shuguli hiyo katika kaunti ya Kajiado. Gavana wa Kajiado Joseph Ole Lenku anasema wakazi wengi wameingia kwenye mikataba ya kuruhusu shuguli za hewa ya kaboni kwenye mashamba yao bila ufahamu wa kutosha kuhusu shuguli hiyo. Akisem Kuna haja ya kuwepo kwa mazungumzo upya kabla ya shuguli hiyo kupewa idhini na serikali ya kaunti. Kauli yake imeungwa mkono na Waziri wa Utalii Penninah Malonza ambaye ameitaka wizara ya mazingira kutoa mwongozo dhabiti ambao utahakikisha wananchi wananufaika bila kuhadaiwa.
Kaunti ya Kajiado yasitisha mikataba yote ya kaboni
- - Duniani Leo ››
- 16 May 2024 - Junior Secondary School teachers say they will obey court orders by staying home.
- 16 May 2024 - Margaret says she is unable to get medical care since she does not have her papers.
- 16 May 2024 - Senator Mungatana criticises DP, says the formula will further deprive marginalised communities.
- 16 May 2024 - Reading Time: 4 minutes Lawmakers have questioned the proposed expenditures for the office and official residence of the Deputy President, calling them expensive in […]
- 16 May 2024 - Whereas the Kenya Kwanza government had promised to double beneficiaries, no money has been allocated in the next financial year.
- 16 May 2024 - Why Kenya exploits only 8pc of marine potential
- 16 May 2024 - Jilted suitor jailed 30 years for splashing acid in woman's eyes
- 16 May 2024 - Limuru III meeting sows confusion in Kenya Kwanza administration
- 16 May 2024 - Reading Time: 2 minutes An Eldama Ravine Court wi*l today rule on whether five Kenya Forest Service (KFS) rangers linked to the murder of […]
- 16 May 2024 - President has said Kenya is lagging in taxing its citizens and pledged to increase levies. Kalonzo Musyoka said the rise is is inhumane as it will push up the cost of living which is too high.