- 12 views
Swala la kukomesha kwa unyanyapaa unaohusishwa na maswala ya hedhi lilitawala mazungumzo wakati wa hafla moja iliyoandaliwa na wafanyakazi wa Shirika la Utangazaji nchini-KBC huko Thika. Hafla hiyo iliyofadhiliwa na KBC na shirika la Bethel Network ilishuhudia kutolewa kwa sodo kwa wanafunzi wa Shule ya upili ya Joytown huko Thika katika Kaunti ya Kiambu huku kukiwa na wito wa kumuelimisha mtoto wa kiume kuhusu maswala ya hedhi ili kupunguza unyanyapaa na kuimarisha usafi wa hedhi miongoni mwa wanafunzi wa kike. Mwanahabari wetu Nancy Okware akiwa anasimulia zaidi kuhusu hafla hiyo iliyoambatana na nyimbo na densi huku wanafunzi wakidhihirisha talanta zao.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.com/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1tv Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#KBCchannel1 #Kenya #News
KBC na shirika la Bethel Network ilishuhudia kutolewa kwa sodo kwa wanafunzi wa Shule ya upili
- - LIVE| NEWS NOW ››
- 19 May 2024 - Hundreds of protesters in Peru's capital marched on Friday to demand the scrapping of a new law that describes transgender people, among others, as having a mental illness so they can access health benefits.
- 19 May 2024 - Israeli troops and tanks pushed on Saturday into parts of a congested northern Gaza Strip district that they had previously skirted in the more than seven-month-old war, killing and wounding dozens of Palestinians, medics and residents said.
- 19 May 2024 - Slovakia's health minister said Saturday the prognosis for Prime Minister Robert Fico was "positive" after an assassination attempt as a court put the suspected gunman in pre-trial detention.
- 19 May 2024 - Hundreds of residents from Cheptigit village in Kerio Valley will spend the night in the cold after the Kenya Wildlife Service (KWS) embarked on the demolition of houses for what it terms as encroachment.
- 19 May 2024 - The Orange Democratic Movement (ODM) party MPs have rallied to have the Azimio coalition shoot down the Finance Bill, 2024 terming it punitive and unbearable.
- 19 May 2024 - Police are investigating an incident in which a young man was shot dead during a violent confrontation between rival groups in Thika, Kiambu County, on Friday evening.
- 19 May 2024 - New Eco Levy threatens Kenya's green future and jobs, say experts
- 19 May 2024 - Gachagua expected to fight back after week of silence amid attacks
- 19 May 2024 - Police probe fatal shooting incident over market space dispute
- 19 May 2024 - 10,000 gather for Bohra spiritual leader's week-long celebrations