- 498 views
Mashirika ya kutetea haki za binadamu yanataka uchunguzi wa kina kufanyika kufuatia kifo cha mwanamke wa miaka thelathini kutoka Kibwezi kaunti ya Makueni aliyepotea kwa njia tatanishi na mwili wake kupatikana katika chumba cha kuhifadhi maiti cha Mutomo kaunti ya Kitui. Mwili wa Nuru Akbar aliyepotea tarehe 29 machi mwaka huu ulipatikana katika mto athi katika eneo la Kiaoni kwenye mpaka wa kaunti za Makueni na Kitui ukiwa na majeraha. mshukiwa mkuu ambaye inadaiwa kuwa mumewe marehemu, Gideon Muthami ametiwa mbaroni na anazuiliwa katika kituo cha kibwezi
Kifo cha mwanamke wa miaka thelathini kutoka Kibwezi kaunti ya Makueni
- 19 May 2024 - Thirdway Alliance party leader Ekuru Aukot says he will petition the United Nations seeking to put a stop to the deployment of police officers to Haiti.
- 18 May 2024 - Auditor General Nancy Gathungu has flagged the eCitizen Revenue Accountability Statement for the Year Ended June 30, 2023, questioning the accuracy of revenue receipts amounting to Ksh.15.5 billion which she says cannot be confirmed.
- 18 May 2024 - President William Ruto has dismissed critics questioning his leadership skills and advising him on how to approach the electorates in order to be re-elected to office for a second term.
- 18 May 2024 - COTU Secretary General Francis Atwoli now says the upcoming meeting of leaders drawn from the Western Kenya region at the Bukhungu Stadium in Kakamega County will rattle the country’s political landscape.
- 18 May 2024 - Prime Cabinet Secretary Musalia Mudavadi has cautioned leaders against taking the country back to dark days when politics of ethnicity were commonplace.
- 18 May 2024 - President William Ruto's allies have come out guns blazing to dismiss the Limuru III meeting that happened on Friday, terming it as a divisive way of trying to push an agenda and undermine the Kenya Kwanza rule.
- 18 May 2024 - Football Kenya Federation Premier League side Police FC have received financial boost following a Ksh.1.5 donation from National Bank of Kenya. The sponsorship according to a communique ‘will go towards enhancement of sporting activities within the club…
- 18 May 2024 - Why IMF policies cannot align with bottom-up agenda
- 18 May 2024 - Hitches mar round two of UDA party elections
- 18 May 2024 - The Vatican on Friday tightened procedures for evaluating reported supernatural events such as weeping Madonnas and blood-dripping crucifixes that have for centuries whipped up the Catholic faithful.