- 57 views
Kenya bado haijapiga hatua kubwa katika vita dhidi ya maambukizi ya virusi vya ukimwi kati ya mama na mtoto. Ripoti ya shirika la kupambana na ukimwi na magonjwa ya zinaa inaonyesha kuwa maambukizi hayo yako juu katika kaunti za Narok, Samburu, Wajir na Mandera. Maambukizi hayo ni asilimia 8.6. ripoti hiyo pia inaonyesha uhaba wa mipira ya kondomu na vifaa vya kupimia virusi katika vituo vya afya kote nchini.Aaidha kuna wasiwasi kuhusu ongezeko la maambukizi miongoni mwa vijana wa chini ya umri wa miaka 25
Maambukizi ya virusi vya ukimwi
- - LIVE| NEWS NOW ››
- 19 May 2024 - Jailed Iranian Nobel Peace Prize winner Narges Mohammadi says she is facing a new trial after she accused the s*************s of s****lly a*****ting women. In a message from Evin prison where she is being held, Ms Mohammadi said the trial relates to an…
- 19 May 2024 - The visit is primed with symbolic significance.
- 19 May 2024 - Reading Time: 2 minutes Here is what you need to know to get up to sp*ed with today’s happenings. Ruto flies to US President Wi*liam […]
- 19 May 2024 - "I believe he won a few of the rounds, but I won the majority," a defiant Fury said in the ring.
- 19 May 2024 - He reminded political leaders to shun using blackmail as a way to survive in politics
- 19 May 2024 - Nothing delights of our politicians more than a good disaster photo op
- 19 May 2024 - Experts call on government to focus on growing the GDP.
- 19 May 2024 - Office of retired president crippled with budget freezes that Uhuru's staff attribute to politics of retribution.
- 19 May 2024 - Ruto calls for planting 15 billion trees by 2032 to rehabilitate forests, improve the climate, limit floods and landslides and give us shade.
- 19 May 2024 - Neither side is backing down now but a peace treaty between the two countries may not be as ‘impossible’ as it may now seem.