- 264 views
Wakaazi wa kaunti ya wajir na eneo la kaskazini mashariki kwa ujumla wana Kila sababu ya kutabasamu baada ya madaktari katika hospitali ya rufaa ya wajir kufanya upasuaji ya kwanza kutumia utaalamu wa kisasa kupitia njia ya matundu madogo ama Laparoscopy. Madaktari hao wameendesha upasuaji huo kupitia video iliyoko mbele yao. hii ni hospitali ya saba ya umma nchini na ya kwanza katika eneo la kaskazini mashariki kutoa huduma kama hii. Na kama anavyotuarifu mwanabari wetu abdikafar Hussein,ni afueni kwa wagonjwa ambao walikua walilazimika kusafiri hadi Nairobi ili kupokea upasuaji wa aina hiyo ambayo ilikua ikiwagharimu fedha nyingi.
Madaktari wafanya upasuaji kwa kutumia teknolojia maalum Wajir
- 16 May 2024 - Kirinyaga Governor Anne Waiguru has told off a section of Mt Kenya leaders over the oncoming event dubbed the Limuru III Conference which is slated for this Friday.
- 16 May 2024 - Nairobi residents have been urged to exercise caution following the sighting of three lions roaming in Lang’ata.
- 16 May 2024 - Kenya and Uganda have signed a tripartite agreement allowing Uganda’s state oil firm to import her petroleum products through Kenya.
- 16 May 2024 - General Sumbeiywo spoke to the media at a Nairobi hotel after all stakeholders signed an agreement to participate in the mediation process. He emphasised the importance of embracing a spirit of compromise.
- 16 May 2024 - A suspected drug trafficker was on Thursday arrested with approximately 100 kilograms of bhang in Nakuru County.
- 16 May 2024 - Destruction was undertaken to send a message to those involved in the illegal harvesting.
- 16 May 2024 - Fifteen EU states have demanded a further tightening of the bloc's asylum policy, making it easier to transfer undocumented migrants to third countries, including when they are rescued at sea.
- 16 May 2024 - Flood-related f********s have hit 291 following two more deaths reported in the last 24 hours, Government Spokesperson Isaac Mwaura has announced. Mwaura says 75 p****e are missing, and 188 have been injured. Further, the ongoing floods have displaced…
- 16 May 2024 - In this Newsletter, we are covering Yoweri Museveni's first address alongside Ruto during his State Visit and the agreement they entered.
- 16 May 2024 - The mother's appeal to the public to raise Ksh143 million has only managed to obtain Ksh50,000.