- 1,742 views
Kiongozi wa zamani wa Mungiki Maina Njenga pamoja na wazee wa baraza la wazee la jamii ya Agikuyu wametoa msaada wa vyakula na mavazi kwa waathiriwa wa mafuriko eneo la Maai Mahiu kaunti ya Nakuru. Viongozi hao wameunga mkono wito wa serikali wa kuwataka wale wanaoishi kwenye mabonde na mikondo ya maji kuhamia maeneo ya juu. akizungumza katika eneo hilo, Maina alieleza kuwa janga la mafuriko lililouwa watu zaidi ya 50 Maai Mahiu ndilo kubwa zaidi kuwahi kutokea nchini. aidha ameitaka serikali kuharakisha shughuli za kuwatafutia makao waathiriwa.
Maina Njenga atoa msaada kwa waathiriwa Maai Mahiu
- 18 May 2024 - At least eight people have been confirmed dead after a bus they were travelling in plunged into a river in Gataka area on the border between Nairobi and Kajiado North.
- 18 May 2024 - The government has announced plans to build a new Ministry of Foreign Affairs headquarters in Nairobi.
- 18 May 2024 - Some of Donald Trump's allies are assembling proposals to curtail the Justice Department's independence and turn the nation's top law enforcement body into an attack dog for conservative causes, nine people involved in the effort told Reuters.
- 18 May 2024 - Outspoken lawyer Miguna Miguna has shared his recovery journey after sustaining a minor leg injury.
- 18 May 2024 - Police in Ugunja, Siaya County are investigating the death of a 35-year-old man whose body was found hanging in his rented house within Ugunja town on Saturday morning.
- 18 May 2024 - The discovery caused panic at the shop before the handler called the police
- 18 May 2024 - Nominated Senator Crystal Asige has called on the government to include people living with disabilities in policy formulation in matters of transport and mobility.
- 18 May 2024 - Ruto said he is aware that what is right might not be popular
- 18 May 2024 - At least 33 construction workers are confirmed to have died when the five-storey building collapsed.
- 18 May 2024 - In Kenya, wealth declaration forms are confidential