- 1,604 views
Eneo la Afrika Mashariki limekumbwa na changamoto za chakula kutokana na ukame uliotajwa kuwa mbaya zaidi katika miongo minne. Na huku mbingu zikiwa zimefunguka na mvua kunya, wakulima katika mataifa anzilishi ya Jumuiya ya Afrika Mashariki, Kenya, Uganda na Tanzania, yanaweka juhudi za kuhakikishia mataifa yana utoshelevu wa chakula. Kila taifa lina mbinu zake za uzalishaji ili kuboresha mazao na kutunza udongo na mazingira. Mashirima Kapombe alisafiri katika nchi jirani ya Uganda na kutuandalia makala haya ya kwanza, kwenye msururu wa makala ya mazao Afrika Mashariki.
| MAZAO AFRIKA MASHARIKI | Wakulima waweka mikakati ya utoshelevu wa chakula
- » MP Koech: Officers who included Kemosi in list of ambassadorial appointees should be held accountable6 May 2024 - Belgut MP Nelson Koech wants officers who included the name of Kenya's High Commissioner to Ghana nominee, Vincent Kemosi, in the appointee list to be held accountable.
- 6 May 2024 - The government has warned schools across the country against re-opening following the flood crisis occasioned by the ongoing heavy rains.
- 6 May 2024 - The floods in Kenya continue to wreak havoc, killing people and leaving many others displaced.
- 6 May 2024 - Dozens of families are still marooned in their homes within Nyando sub-county as rescue efforts continue to have them moved to higher grounds after River Nyando broke its banks.
- 6 May 2024 - He is set to serve for a five-year term effective May 13.
- 6 May 2024 - Chadians go to the polls on Monday three years after their military leader seized power, in the first presidential election in Africa's Sahel region since a wave of coups.
- 6 May 2024 - Israeli authorities raided a Jerusalem hotel room used by Al Jazeera as its office after the government decided to shut down the Qatari-owned TV station's local operations on Sunday
- 6 May 2024 - President William Ruto's cabinet had ordered a select category of Kenyans to vacate as floods continue to wreak havoc.
- 6 May 2024 - Despite Kyiv lowering the conscription age to find replacements, it's not just a numbers game.
- 6 May 2024 - The Authority urged motorists to use alternative routes to their destinations.