- 261 views
wafanyibiashara katika soko kubwa zaidi kaunti ya wajir maarufu soko mjinga wanakadiria hasara ya mamilioni ya pesa baada ya moto mkubwa kuteketeza soko hilo. moto huo ambao chanzo chake bado hakijabainika, ulianza mwendo wa saa nne usiku na kuendelea kwa saa kadhaa huku wafanyibiashara wakishindwa kudhibiti kuzima moto huo. wakaazi wamenyoosha kidole cha lawama kwenye serikali ya kaunti kwa kutowajibika wakati moto huo ulianza kwani gari la wazimamoto halikuwa na maji wakati mkasa huo ulitokea. wafanyibiashara hao wametoa wito kwa serikali na mashirika yasiyo ya serikali kuwa saidia kuazisha biashara zao tena.
Moto watekeleza mali ya mamilioni ya pesa sokoni Wajir
- - LIVE | TV47 Matukio ››
- 18 May 2024 - The United Democratic Alliance (UDA) party is conducting its second phase of grassroots election in all the 40 wards within Homa Bay County today (Saturday).
- 18 May 2024 - A US Supreme Court justice faced calls on Friday to recuse himself from cases involving Donald Trump after an inverted American flag -- a symbol of the former president's false election fraud claims -- was flown outside his home.
- 18 May 2024 - The closure will begin from Saturday to Monday.
- 18 May 2024 - The head of Canada's Security Intelligence Service warned Canadians against using video app TikTok, saying data gleaned from its users "is available to the government of China," CBC News reported on Friday.
- 18 May 2024 - The confrontation escalated as police officers lobbed tear gas canisters to restore peace in the area.
- 18 May 2024 - Bamban is a nondescript town in the country's rice-growing flood plains north of the capital, Manila.
- 18 May 2024 - The recent ripples caused by the Limuru III continue to vibrate across the region, its influence mirrors Sagana which gained popularity as a venue of political interest.
- 18 May 2024 - She says this will link the products to the world and stop exploitation of traders by middlemen
- 18 May 2024 - Last week South Africa asked for additional emergency measures to protect Rafah.
- 18 May 2024 - Ghana's parliament, which has been adjourned since March following a row between the speaker and the president over an anti-LGBT bill, will reconvene on Friday to discuss approval of ministerial appointees and other "urgent matters".