- 1,470 views
Afisa katika afisi ya rais farouk kibett amewataka watu wanaoishi katika maeneo yaliyo katika hatari ya kukumbwa na mafuriko kuhamia maeneo salama ili kuepuka maafa yanayotokana na mafuriko. Kibet alisema haya alipoongoza harambee ya ujenzi wa kanisa katoliki la chelelemuk eneo bunge la Teso Kaskazini. Kiongozi wa wengi katika bunge la kitaifa Kimani Ichungwa na mwenzake wa seneti Aaron Cheruyot walimshutumu kinara wa azimio raila odinga kuhusu matamshi yake ya hapo jana alipokosoa serikali kuhusiana na jinsi inavyokabiliana na janga hili la mafuriko.
Msaidizi wa rais Farouk Kibet ataka Wakenya kuondoka maeneo yaliohatarini ya mafuriko
- 18 May 2024 - Outspoken lawyer Miguna Miguna has shared his recovery journey after sustaining a minor leg injury.
- 18 May 2024 - Police in Ugunja, Siaya County are investigating the death of a 35-year-old man whose body was found hanging in his rented house within Ugunja town on Saturday morning.
- 18 May 2024 - Nominated Senator Crystal Asige has called on the government to include people living with disabilities in policy formulation in matters of transport and mobility.
- 18 May 2024 - The PS also issued an advisory to applicants on what they need to do during the week.
- 18 May 2024 - Several people have been injured after two factions clashed over a market project in Thika. Supporters of Thika MP Alice Ng’ang’a and Kamenu ward MCA Peter Mburu faced off over the construction of the Kiganjo market within Kamenu ward with both leaders…
- 18 May 2024 - Joe Biden's Democratic Party on Friday accused House Speaker Mike Johnson of disrespecting Africa.
- 18 May 2024 - Governor Kihika, CEO clash over closure of War Memorial Hospital
- 18 May 2024 - Stillbirth: The pain of mothers leaving maternity without their babies
- 18 May 2024 - Puzzle of 2,000 absentee pupils in flood-ravaged Mai Mahiu school
- 18 May 2024 - Spare us wild goose chase in weak impeachment motions