- 857 viewsMwanakijiji kutoka Uganda, Musa Hasahya Kasera, anasema familia yake kubwa inajumuisha wake 12, watoto 102 na wajukuu 578. “Nimekuwa na matatizo mengi, kutafuta fedha za karo ya shule, kutoa chakula kwa kila mtu, kutafuta nguo na fedha za kusaidia endapo mtu anaumwa,” alisema mzee wa miaka 68 ambaye alipendekeza wake zake wachukue vidhibiti vya uzazi ili familia yao iache kukua. Kuoa wake wengi ni halali nchini Uganda, nchi yenye viwango vya juu zaidi vya kuzaliwa duniani, ambapo ni asilimia 50 tu ya wanawake wanapata udhibiti wa kisasa wa uzazi, kulingana na UN Women. "Alipoleta mwingine (mke), nakumbuka nilijisikia vibaya sana na hasira. Lakini baada ya muda nilizoea yote," alisema mke wa tatu wa Masa, Zabina Hasahya. #bbcswahili #uganda #familia
Musa Hasahya Kasera: 'Nina wake 12, watoto 102 na wajukuu 568'
- 19 May 2024 - Hundreds of protesters in Peru's capital marched on Friday to demand the scrapping of a new law that describes transgender people, among others, as having a mental illness so they can access health benefits.
- 19 May 2024 - Israeli troops and tanks pushed on Saturday into parts of a congested northern Gaza Strip district that they had previously skirted in the more than seven-month-old war, killing and wounding dozens of Palestinians, medics and residents said.
- 19 May 2024 - Slovakia's health minister said Saturday the prognosis for Prime Minister Robert Fico was "positive" after an assassination attempt as a court put the suspected gunman in pre-trial detention.
- 19 May 2024 - Hundreds of residents from Cheptigit village in Kerio Valley will spend the night in the cold after the Kenya Wildlife Service (KWS) embarked on the demolition of houses for what it terms as encroachment.
- 19 May 2024 - The Orange Democratic Movement (ODM) party MPs have rallied to have the Azimio coalition shoot down the Finance Bill, 2024 terming it punitive and unbearable.
- 19 May 2024 - Police are investigating an incident in which a young man was shot dead during a violent confrontation between rival groups in Thika, Kiambu County, on Friday evening.
- 19 May 2024 - Thirdway Alliance party leader Ekuru Aukot says he will petition the United Nations seeking to put a stop to the deployment of police officers to Haiti.
- 19 May 2024 - CA pushes for Sh88.5b nation-wide broadband
- 19 May 2024 - Kabarak, FKE unite to bridge industry gaps
- 19 May 2024 - Ruto allies accuse leaders of tribalism over Limuru 3