- 2,006 views
Masuali kuhusu kisa cha mtoto wa miaka saba kuanguka katika kituo kimoja cha burudani eneo la Ruiru yanaendelea kutatanisha huku maafisa wa polisi wakianzisha uchunguzi kuyatanzua. Maafisa wa polisi kutoka kaunti ndogo ya Ruiru wanasema walifika katika kituo hicho wakati kisa kilitokea na wanaendelea na uchunguzi.. Haya yanajiri huku familia ya mtoto caleb odanga ikiendelea kuhangaika kutoka hospitali moja hadi nyingine kutafuta maoni zaidi ya wataalamu wa matibabu ya ubongo ili kuokoa maisha ya mwana wao.
Polisi waanza uchunguzi baada ya mtoto kuanguka katika kituo kimoja cha burudani eneo la Ruiru
- - LIVE| NEWS NOW ››
- 19 May 2024 - The bereaved father, who lives near the Rumaila field in the southern province of Basra, is demanding that the firm compensate him for his son Ali's medical expenses, which have left him in crushing debt.
- 19 May 2024 - The fishing vessel got into difficulty on Friday but local officials said they had not given up hope for the men, despite air and sea searches turning up no trace.
- 19 May 2024 - Usukhjargal Tsedendamba, 53, and Purevsuren Lkhagvajav, 31, were last in contact Sunday evening from Camp 4, which is situated less than a kilometre (0.6 miles) below the summit.
- 19 May 2024 - This is the second time Ruto is hosting Somalia President in Nairobi in less than two months.
- 19 May 2024 - Police probe fatal shooting incident over market space dispute
- 19 May 2024 - 10,000 gather for Bohra spiritual leader's week-long celebrations
- 19 May 2024 - Ruto allies accuse leaders of tribalism over Limuru 3
- 19 May 2024 - Why IMF policies cannot align with bottom-up agenda
- 19 May 2024 - Mr Gantz set an 8 June deadline for a plan to achieve six "strategic goals".
- 19 May 2024 - Is it possible that a crack has emerged between him and his boss?