- 77 views
Rais William Ruto ameagiza wizara zote kuongoza katika shughuli ya upanzi wa miti katika kipindi cha miezi 6 ijayo kuanzia Jumatatu ili kufanikisha ajenda ya serikali ya kuafikia asilimia 30 ya utandu wa miti humu nchini kufikia mwaka wa 2032. Akiongea baada ya kuwaongoza wakenya katika shughuli ya kitaifa ya upanzi wa miti katika msitu wa Kiambicho, Kaunti ya Murang'a, Rais akizifariji familia zilizopoteza wapendwa wao kutokana na mafuriko, alisema kuwa njia pekee ya kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi kama vile mafuriko na ukame, ni kupanda miti akiwahimiza wakenya kuunga mkono mpango huo. Na kama anavyotuarifu Timothy Kipnusu, Rais Ruto wakati uo huo alisema serikali inaendelea kuhamisha watu walionyemelea maeneo yaliyo karibu na mito.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Rais Ruto aagiza wizara zote kuongoza katika upanzi wa miti kwa miezi 6 ijayo
- 21 May 2024 - A family in Siaya County is seeking help to retrieve the body of their kin who drowned in River Nzoia 17 days ago.
- 21 May 2024 - After seven days out of the public limelight, Gachagua resurfaced to see off President William Ruto on his departure to the United States.
- 21 May 2024 - Auditor General Nancy Gathungu has sounded a warning over the government's proposal to reduce the budget for flood mitigations by more than Ksh.3 billion.
- 21 May 2024 - According to Makadara Police Commander Judith Nyongesa, an unknown number of people were scavenging for scrap metals in the building, which was demolished three days ago, and could be trapped beneath the rubble.
- 21 May 2024 - Ten counties are most affected, with parents forced to travel long distances to neighboring counties to seek these services.
- 21 May 2024 - This visit, the first by an African leader in 15 years, is expected to strengthen ties between Kenya and the United States while opening doors to investment opportunities.
- 20 May 2024 - President William Ruto has began his tour of the United States of America in Atlanta Monday.
- 20 May 2024 - The Economic Survey of 2023 shows that there are more crimes reported across the country; it shows that 104,842 cases of crime were reported, representing an increase of 19 per cent.
- 20 May 2024 - Court admits toy pistol as evidence in Maina Njenga's trial
- 20 May 2024 - Police arrest man for secretly burying daughter