- 27 views
Ripoti ya UNICEF na shirika la afya ulimwenguni zimedokeza kuwa mamilioni ya watoto duniani wapo katika hatari ya kuugua surua, mojawapo ya magonjwa ya kuambukiza na makali zaidi ya utotoni ambayo huchukua maisha ya mamia ya watoto duniani kila uchao. Mwaka jana pekee, watoto milioni 21.9 walikosa chanjo ya kawaida ya surua katika mwaka wao wa kwanza wa maisha na milioni 13.3 hawakupokea dozi yao ya pili, na kuwaweka watoto katika jamii zisizo na chanjo katika hatari ya mikurupuko. Katika makala ya siha yangu, kuna haja ya kutolewa hamasa kuhusu chanjo, haswa wakati huu ambapo ulimwengu unaadhimisha wiki ya utoaji chanjo.
Serikali imetakiwa ihakikishe kuna chanjo za kutosha
- 16 May 2024 - Kenya has received 450,000 doses of self-injectable contraceptives in a bid to simplify and enhance the accessibility of family planning among sexually active women.
- 16 May 2024 - Deputy President Rigathi Gachagua has defended his office’s proposed allocation in the 2024/2025 financial year.
- 16 May 2024 - Nairobi Woman Representative Esther Passaris has broken her silence on the controversial finance bill saying that she will still vote for it despite having some misgivings about some clauses in it.
- 16 May 2024 - National Assembly Majority Leader Kimani Ichung'wah has discredited Deputy President Rigathi Gachagua’s proposal of a ‘one-man-one-shilling’ county revenue-sharing formula.
- 16 May 2024 - Nairobi Senator Edwin Sifuna has told off National Assembly Speaker Moses Wetangula for blaming Members of Parliament who are criticizing the national budget proposals in public.
- 16 May 2024 - National Assembly Speaker Moses Wetangula has chastised Members of Parliament for politicizing the national budget making process, reminding them of their integral role in its formulation and passage.
- » Kenya receives 450,000 doses of contraceptives to support comprehensive access to modern family planning16 May 2024 - Kenya has received 450,000 doses of Subcutaneous Depot Medroxyprogesterone Acetate (DMPA-SC), a self-injectable contraceptive that simplifies and enhances the accessibility of family planning. The consignment of DMPA-SC contraceptives handed over to the…
- 16 May 2024 - A Committee has been formed by the government to mediate between Senators and Members of the National Assembly on the proposed allocation of Ksh 415 billion to counties. The Senate had proposed an increase of allocation to the County Government to Ksh…
- 16 May 2024 - Doctors' union assures interns that the issue will be solved within 60 days.
- 16 May 2024 - Kennedy Ondiek, the United Democratic Alliance (UDA) Party co-ordinator for South Nyanza, has dismissed criticism against President William Ruto over his plan to raise the country’s average tax rate from the current 14 per cent to 22 per cent by the end…