- 84 views
Serikali sasa imeruhusiwa kutumia pesa zaidi ili kukabiliana na athari za mafuriko yanayoshuhudiwa kote nchini. Kamati ya bunge kuhusu bajeti sasa inasema itaidhinisha pesa zozote zinazotengewa kusaidia waathiriwa wa mafuriko huku idadi ya walioangamia kutokana na mafuriko ikifika watu 60, na wakaazi katika eneo la Uthiru 87 ulio mpaka wa kaunti za Nairobi na Kiambu wamesalia na hofu baada ya sehemu hiyo kushuhudia maparomoko ya ardhi. Haaya yanajiri huku watu watatu wakisombwa na maji kaunti ya Nandi idadi sawia na kaunti ya Turkana
Serikali yaruhusiwa kutumia pesa zaidi ili kukabiliana na athari za mafuriko
- 19 May 2024 - According to data from K-Note, a non-governmental organisation, Mai Mahiu, Longonot, Naivasha, and Kikopey towns are suffering as a result of the large number of truck drivers seeking services there.
- 19 May 2024 - The Pharmacy and Poisons Board has arrested suspects behind an illegal medicine distribution syndicate operating without licenses in Kajiado County.
- 19 May 2024 - The Law Society of Kenya has objected the planned deployment of 1000 police officers to troubled Caribbean island of Haiti.
- 19 May 2024 - The insurgent, Anywari Al Iraq, a Ugandan, was captured in the jungles of eastern Democratic Republic of Congo where the rebel group Allied Democratic Forces is based, the military, Uganda People's Defence Forces, said in a statement.
- 19 May 2024 - The medicines, intended for public use had allegedly been diverted for commercial sale in private chemists
- 19 May 2024 - The disease can lead to chronic inflammation of the organs, which can be fatal
- 19 May 2024 - One company was deregistered for having a name too similar to another existing entity.
- 19 May 2024 - Reading Time: 2 minutes Deputy President Rigathi Gachagua has surfaced in public after a week of cons**cuous silence in the country, marking his first […]
- 19 May 2024 - Deputy President Rigathi Gachagua on Sunday made his first public appearance amid rumours of a split within the ruling Kenya Kwanza coalition.
- 19 May 2024 - The study by Kemri has found that nearly one in 10 home had extremely high concentration levels