- 2,129 views
Huku mafuriko yakizidi kusababisha maafa na mahangaiko nchini, Naibu Rais Rigathi Gachagua amesema kwamba ufunguzi wa shule kwa muhula wa pili utaendelea kama ilivyoratibiwa licha ya jumla ya shule 64 kuathiriwa na mafuriko nchini. Aidha, naibu rais amesema kuwa serikali itatathmini hali na kutoa mwelekeo kuhusu athari za mafuriko kwa shughuli za masomo. Gachagua amesema kuwa serikali kuu iko tayari kushirikiana na zile za kaunti ili kutatua changamoto zinazotokana na mafuriko
Serikali yasema shule zitafunguliwa wiki ijayo
- - Duniani Leo ››
- - Duniani Leo ››
- 7 May 2024 - Rescue efforts were underway after three people were killed and dozens remained trapped after a multi-storey building under construction collapsed in the South African city of George.
- 7 May 2024 - As India votes in a six-week general election, Narendra Modi's image adorns everything from packs of rice handed out to the poor to large posters in cities and towns.
- 7 May 2024 - Train services were suspended owing to the floods and heavy rains.
- 7 May 2024 - 'Maai Mahiu floods snatched my beloved son from my hands'
- 7 May 2024 - CS for Agriculture Mithika Linturi runs a key function in Ruto administrations economic plan. Healths Susan Nakhumicha runs another function that is key in the life of the country.
- 7 May 2024 - Australian PM accuses Chinese warplane of 'unacceptable' conduct
- 7 May 2024 - The man left the suspicious goods at the bus booking office for clearance from the government.
- 7 May 2024 - Amnesty says Somali strikes with Turkish drones killed civilians
- 7 May 2024 - Boeing probed in US over possible falsified records on 787
- 7 May 2024 - No letup yet for flood-battered southern Brazil