- 42 views
Shule kote nchini zitafunguliwa kwa muhula wa pili kama ilivyoratibiwa licha ya mvua inayoendelea kunyesha, huku serikali ikisema imeweka mikakati ya kutosha kuhakikisha usalama wa wanafunzi. Jijini Nairobi, waathiriwa wa mafuriko ambao wametafuta hifadhi katika taasisi za masomo watahamishwa hadi kambi tatu maalum kwenye uwanja wa Masinde Muliro katika eneo la Huruma, kambi ya manaibu machifu ya Mavoko na Kasarani,sawia na maeneo mengine nchini. Lakini kutokana na mvua inayoendelea kunyesha, waathiriwa walioachwa bila makazi kutokana na mafuriko wanaelezea masaibu yao wakitoa wito kwa serikali kuingilia kati na kuepusha mzozo wa kibinadamu.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.com/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1tv Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#KBCchannel1 #Kenya #News
Shule kote nchini zitafunguliwa kwa muhula wa pili kama ilivyoratibiwa
- - Duniani Leo ››
- - LIVE| TV47 MATUKIO ››
- 14 May 2024 - Trump has promised to crack down on illegal immigration and restrict legal immigration if elected to a second four-year term in the White House.
- 14 May 2024 - Reading Time: < 1 minute The government has banned livestock grazing in all public forests in a bid to make re-afforestation and environment conservation sustainable. […]
- 14 May 2024 - Novel oral nicotine products harm foetuses and brain of adolescents, but they are a big business
- 14 May 2024 - Says the government is complying with all the regulations and legal frameworks required
- 14 May 2024 - Yassin Moyo was shot dead while standing on the balcony of their house by a cop enforcing a corona curfew.
- 14 May 2024 - The state-run national election management body on Thursday declared interim President Mahamat Idriss Deby winner of the election with 61.3 percent of the vote
- 14 May 2024 - The legislation has been strongly opposed by business groups which say it will lead to disinvestment in the healthcare sector
- 14 May 2024 - The President has remained tightlipped on Linturi troubles, sending clear signals to other CSs
- 14 May 2024 - He called them with promises of a small token to kill stories on irregular expenditure.
- 14 May 2024 - Otieno, who was nursing bipolar disorder, died on March 6 last year .