Trump na Biden wanafursa katika sera ya bhangi uchaguzi mkuu
Bhangi ni suala nadra la makubaliano katika Amerika iliyogawanyika kisiasa, huku ukusanyaji maoni ukionyesha kwamba asilimia 88 ya Wamarekani wanaunga mkono walau kwa kiasi fulani kuhalalisha bhangi.
Lakini watetezi wa bhangi wanasema hakuna mgombea hata mmoja wa juu wa urais anatumia mitazamo inayobadilika.
Takriban robo tatu ya Wamarekani wanaishi katika majimbo ambako bhangi ni halali kutumiwa kwa ajili ya matibabu. Nusu ya idadi ya watu wanaishi katika maeneo ambako bBhangi inaruhusiwa kwa starehe.
Lakini Bhangi bado inaendelea kutizamwa kuwa si halali kwa mujibu wa sheria ya serikali kuu, ambako imewekwa pamoja na heroine na LSD kama dawa isiyo ya matumizi ya matibabu yanayokubalika kwa hivi sasa na kuna uwezekano mkubwa ikatumiwa vibaya.
Idadi kubwa ya wapiga kura wa Marekani ambao wanadhani kwamba ni vyema mabadiliko yafanyike kwa bhangi ni fursa muafaka kwa wagombea urais Joe Biden na Donald Trump, hasa miongoni mwa wapiga kura vijana, kwa mujibu ….. . … Scotty Smart, ambaye ni mratibu wa jumuiya katika kundi la kiraia la New Georgia Project.
Scotty Smart, New Georgia Project anaeleza: “Watu wengi hawaelewi sera. Watu wengi hawafahamu jinsi sera zinavyoathiri maisha ya kila siku. Nadhani banghi ni suala ambalo linachochea na kuwasisimua vijana wadogo kulipa mtizamo.”
Caroline Phillips, National Cannabis Festival amesema: “Kwa wote hao, jambo moja ambalo wanafana ni kwamba rekodi yao juu ya bhangi imekuwa haiendani na inaongezeka. Tumesikia ahadi kutoka kwa tawala zote mbili, hakuna hata moja
ambaye amejitokeza wazi wazi.”
#bhangi #marekani #siasa #wamarekani #wagombea #urais #uchaguzi #voa #voaswahili #dunianileo #donaldtrump #joebiden
6 May 2024
- Digital businesses will also be eligible for loans if they meet the set criteria.
6 May 2024
- The Union was unable to account for Ksh5.5 billion worth of the organisation's funds.
6 May 2024
- CS Kindiki made the announcement after making an impromptu tour to Nyayo House.
6 May 2024
- Russia said on Monday its forces had captured two more frontline villages in Ukraine, including in the northeast Kharkiv region, where Kyiv had repelled Moscow's troops earlier in the conflict.
6 May 2024
- The Ethics and Anti-Corruption Commission (EACC) has obtained High Court orders preserving $460,000 (Ksh.62,100,000) the anti-graft body seized in the ongoing investigation into former Cabinet Secretary and Marsabit Governor Ukur Yatani.
6 May 2024
- Chief Justice Martha Koome has directed Magistrates’ Courts countrywide to conduct Rapid Results Initiatives to finalise cases that have been pending for over three years.
6 May 2024
- The National Assembly special committee probing the impeachment motion against Agriculture Cabinet Secretary Mithika Linturi is expected to table its findings to Parliament next Monday.
6 May 2024
- Ichung’wah said such meetings belong to the past and have no future in Kenya.
6 May 2024
- This is aligned with its investor protection mandate.
6 May 2024
- They are expected to appear at the party’s headquarters at Chungwa house in Nairobi on May 8.
6 May 2024
- Majority of MSMEs at 48.6 percent invest over Sh200,000 into their business.
6 May 2024
- Digital businesses will also be eligible for loans if they meet the set criteria.
6 May 2024
- The percentage of married women using modern methods is lowest in Arid and Semi-Arid counties.