- 25 views
Mawaziri kadhaa, maafisa wa ngazi za juu serikalini na maafisa wengine kutoka mashirika mbali mbali ya serikali walishiriki katika shughuli za upanzi wa miche ya miti maeneo mbalimbali nchini hii leo, katika juhudi kuhakikisha serikali inaafikia lengo lake la asilimia 30 ya eneo la misitu hapa nchini kufikia mwaka 2032. Shughuli hiyo ya kitaifa ya upanzi wa miche kwenye maeneo yasiyo na miti pamoja na kuimarisha mfumo wa ikolojia, ilitekelezwa pia kwa nia ya kuwakumbuka zaidi ya wakenya 200 waliopoteza maisha yao kutokana na mafuriko hapa nchini. Hivi ndivyo shughuli hii ilivyotekelezwa katika sehemu mbali mbali za taifa hili.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Upanzi wa Miti I Viongozi washiriki kupanda miche nchini
- 21 May 2024 - Defense Secretary Lloyd Austin indicated that US forces have not changed their posture after the crash in the longtime adversary, where decisions are ultimately made by the supreme leader, Ayatollah Ali Khamenei.
- 21 May 2024 - A family in Siaya County is seeking help to retrieve the body of their kin who drowned in River Nzoia 17 days ago.
- 21 May 2024 - After seven days out of the public limelight, Gachagua resurfaced to see off President William Ruto on his departure to the United States.
- 21 May 2024 - Auditor General Nancy Gathungu has sounded a warning over the government's proposal to reduce the budget for flood mitigations by more than Ksh.3 billion.
- 21 May 2024 - According to Makadara Police Commander Judith Nyongesa, an unknown number of people were scavenging for scrap metals in the building, which was demolished three days ago, and could be trapped beneath the rubble.
- 21 May 2024 - Ten counties are most affected, with parents forced to travel long distances to neighboring counties to seek these services.
- 21 May 2024 - This visit, the first by an African leader in 15 years, is expected to strengthen ties between Kenya and the United States while opening doors to investment opportunities.
- 20 May 2024 - President William Ruto has began his tour of the United States of America in Atlanta Monday.
- 20 May 2024 - Police arrest man for secretly burying daughter
- 20 May 2024 - Court admits toy pistol as evidence in Maina Njenga's trial