- 236 views
Huku ulimwengu ukiadhimisha siku ya idadi ya watu, imebainika kuwa kaunti ya Garissa imenakili ongezeko la mimba za mapema, dhulma za kijinsia na maambukizi mapya ya ugonjwa wa ukimwi. Kulingana na utafiti ya mwaka wa 2014, asilimia kumi nukta moja ya wale walio na kati ya miaka kumi na kumi na tisa katika kaunti hiyo tayari wamepata watoto.Hali hii imechangiwa pakubwa na mila potovu na ukeketaji ambapo msichana wa umri mdogo hupitia tohara na kuozwa kwa wazeeUtumizi wa mihadharati miongoni mwa vijana katika eneo hilo pia yamechangia kuwepo na visa vya ubakaji, dhulma ya kijinsia na kuongezeka kwa visa vipya vya ukimwi.
Visa vya dhuluma kwa watoto vimeratibiwa kuongezeka kaunti ya Garissa
- - LIVE | TV47 Matukio ››
- 18 May 2024 - The United Democratic Alliance (UDA) party is conducting its second phase of grassroots election in all the 40 wards within Homa Bay County today (Saturday).
- 18 May 2024 - A US Supreme Court justice faced calls on Friday to recuse himself from cases involving Donald Trump after an inverted American flag -- a symbol of the former president's false election fraud claims -- was flown outside his home.
- 18 May 2024 - The head of Canada's Security Intelligence Service warned Canadians against using video app TikTok, saying data gleaned from its users "is available to the government of China," CBC News reported on Friday.
- 18 May 2024 - Ghana's parliament, which has been adjourned since March following a row between the speaker and the president over an anti-LGBT bill, will reconvene on Friday to discuss approval of ministerial appointees and other "urgent matters".
- 18 May 2024 - US Central Command said aid trucks had begun moving ashore at about 09:00 local time (07:00 BST) on Friday.
- 18 May 2024 - According to the initial plan, the project is projected to cost Ksh4 billion.
- 18 May 2024 - Governor Kihika, CEO clash over closure of War Memorial Hospital
- 18 May 2024 - Puzzle of 2,000 absentee pupils in flood-ravaged Mai Mahiu school
- 18 May 2024 - Spare us wild goose chase in weak impeachment motions
- 18 May 2024 - Alarm over shortage of newborn jabs as Gavi launches measles drive