- 6,048 views
Watu ishirini wamefariki huku wengine wakikimbizwa katika hospitali ya Naivasha kwa matibabu. kwa mujibu wa kamanda wa polisi Naivasha Stephen Kirui, Kijiji kizima cha Kamuchiri kaunti ya Nakuru kimesombwa na mafuriko baada ya mto kijabi kuvunja kingo zake na bwawa kuvunja kuta na kusababisha mafuriko. shughuli ya uokoaji inaendelea. Tukio hilo lilisababisha mafuriko pia kwenye barabara kuu ya Nairobi- Nakuru katika eneo la Maai Mahiu ambapo msongamano mkubwa wa magari unazidi kushuhudiwa. Basi la kampuni ya Easycoach lilijipata kwenye mafuriko hayo na kusombwa na maji. Hata hivyo abiria walikuwa tayari wameshuka kutoka kwenye basi hilo lililokuwa limetoka Narok likielekea Nairobi. wasafiri wameonywa kujihadhari na maporomoko ya mawe.
Watu 20 wamefariki baada ya kijiji kusombwa na maji ya mafuriko Mai Mahiu
- - Duniani Leo ››
- 16 May 2024 - Jilted suitor jailed 30 years for splashing acid in woman's eyes
- 16 May 2024 - Limuru III meeting sows confusion in Kenya Kwanza administration
- 16 May 2024 - Why Kenya exploits only 8pc of marine potential
- 16 May 2024 - President has said Kenya is lagging in taxing its citizens and pledged to increase levies. Kalonzo Musyoka said the rise is is inhumane as it will push up the cost of living which is too high.
- 16 May 2024 - The 75-year-old had been just 100m away from his home when he heard the deadly roar of water approaching.
- 16 May 2024 - The alleged assailant was detained at the scene but has not yet been formally identified by the authorities.
- 16 May 2024 - I'm finally happy after reluctant sex debut, abortion and lesbianism
- 16 May 2024 - Loss of corals and fishing led to Sh1bn lawsuit against the state
- 16 May 2024 - Assistant coach Paul Murunga said preparations will start in the next few weeks.
- 16 May 2024 - Bandari coach Salim Babu rued a missed opportunity to close the gap on leader Gor Mahia.