- 420 views
Wazazi katika kijiji cha shikomari eneo bunge la navakholo wametakiwa kuchukulia masomo ya wanao kwa makini na kuhakikisha wanafika shuleni kila siku ili kutimiza azma ya serikali ya asilimia100 ya wanafunzi kujiunga na shule. Wakizungumza katika shule ya msingi ya Shikomari eneo bunge la Navakholo kaunti ya kakamega, walimu ambao walisoma katika shule hiyo wakiongozwa na Joel Shilingi wamesikitikia idadi ya wanafunzi wanaofika shuleni eneo bunge hilo wakiwataka wazazi kujukumika na kuhakikisha kuwa wanao wanapata elimu ili kukomesha visa vya utovu wa usalama eneo hilo.
Wazazi na walimu wa kijiji cha Shikomari, Navakholo waungana kuboresha elimu eneo hilo
- - Citizen TV Live ››
- 20 May 2024 - The Economic Survey of 2023 shows that there are more crimes reported across the country; it shows that 104,842 cases of crime were reported, representing an increase of 19 per cent.
- 20 May 2024 - A Russian court on Monday sentenced a man to 25 years in jail for planning to set fire to a Siberian military enlistment office in 2022, the year Moscow launched its military operation in Ukraine.
- 20 May 2024 - President Joe Biden will host him on the southern lawns of the White House on Thursday.
- 20 May 2024 - Ruto begins his visit on Monday in Atlanta, Georgia where he will visit the Carter Presidential Library and Museum, among other engagements.
- 20 May 2024 - A man was on Monday arraigned for possessing an imitation firearm and ammunition.
- 20 May 2024 - The incident occurred around 1500 hours in the Rapture area, about 15 kilometres east of the Timboroa police station.
- 20 May 2024 - Government seeks to streamline beekeeping
- 20 May 2024 - Photos: President Ruto arrives in Atlanta, US
- 20 May 2024 - Cost of Itare dam project increases to Sh40 billion
- 20 May 2024 - Kakamega county intensifies screening as hypertension cases rise