- 516 views
Waziri wa Mazingira, Mabadiliko ya Tabianchi, na Misitu Soipan Tuya amesema kuwa Kenya itahitajika kutafuta mbinu mpya ya kukabili mabadiliko ya tabianchi. Waziri huyo amesema kuwa licha ya mkutano wa kimataifa kuhusu mabadiliko ya tabianchi kuafikia ufadhili zaidi kutoka mataifa yanayochangia pakubwa uchafuzi wa mazingira, kiasi kikubwa cha fedha zinazoahidiwa kwa bara afrika haziwezi kusaidia kutokana na viwango vikubwa vya riba. Wakizungumza huko kabete walikowatembelea waathiriwa wa mafuriko, Mawaziri Tuya na mwenzake wa leba Florence Bore wamewaahidi waathiriwa wa mafuriko kuwa serikali inatafuta ardhi ili kuruhusu baadhi ya wahanga wa mafuriko kuhama kutoka katika maeneo ambayo yanakumbwa na mafuriko. WIzara ya afya itatoa dawa kwa waathiriwa ili kuzuia magonjwa yatokanayo na maji chafu.Zaidi ya nyumba sitini Kabate zimesombwa na mafuriko.
Waziri Soipan Tuya awatembelea waathiriwa wa mafuriko Kabete
- - LIVE| NEWS NOW ››
- 19 May 2024 - The bereaved father, who lives near the Rumaila field in the southern province of Basra, is demanding that the firm compensate him for his son Ali's medical expenses, which have left him in crushing debt.
- 19 May 2024 - The fishing vessel got into difficulty on Friday but local officials said they had not given up hope for the men, despite air and sea searches turning up no trace.
- 19 May 2024 - Usukhjargal Tsedendamba, 53, and Purevsuren Lkhagvajav, 31, were last in contact Sunday evening from Camp 4, which is situated less than a kilometre (0.6 miles) below the summit.
- 19 May 2024 - This is the second time Ruto is hosting Somalia President in Nairobi in less than two months.
- 19 May 2024 - Police probe fatal shooting incident over market space dispute
- 19 May 2024 - 10,000 gather for Bohra spiritual leader's week-long celebrations
- 19 May 2024 - Ruto allies accuse leaders of tribalism over Limuru 3
- 19 May 2024 - Why IMF policies cannot align with bottom-up agenda
- 19 May 2024 - Mr Gantz set an 8 June deadline for a plan to achieve six "strategic goals".
- 19 May 2024 - Is it possible that a crack has emerged between him and his boss?