Skip to main content
Skip to main content

Zaidi ya watu elfu-23 Kaunti ya Migori waunganishiwa umeme

  • | KBC Video
    206 views
    Duration: 2:34
    Serikali ya kaunti ya Nairobi inatafuta mkataba wa ushirikiano wa sekta za kibinafsi na umma kufadhili kiwanda cha kutayarisha taka upya. Afisa mkuu wa chakula, kilimo na mali asili katika kaunti ya Nairobi amesema kuwa kiwanda hicho kitatumia taka za chakula kutoka kwenye masoko kote jijini Nairobi kutayarisha mbolea na chakula cha mifugo. Kwa hizi na habari nyingi huu hapa mkusanyiko wa taarifa zetu za biashara. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive