Skip to main content
Skip to main content

Mwanaume ashtakiwa kwa kumtilia 'dawa', kumuibia kiongozi wa wengi wa kaunti ya Kirinyaga Sh659,720

  • | NTV Video
    673 views
    Duration: 1:04
    Mwanaume mmoja amefikishwa katika mahakama ya Wang’uru, kaunti ya Kirinyaga akikabiliwa na mashtaka ya kumtilia tembe za kumzubaisha kiongozi wa wengi katika bunge la kaunti hiyo Benson Waweru na kumuibia Sh659,720. Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news today and everyday as told by Kenyans. Get the Kenya news updates, discussions and other exciting shows. Website: https://www.ntvkenya.co.ke || Paper: Daily Nation || Twitter: @ntvkenya || Facebook: NTV Kenya || Instagram: NTV Kenya