Skip to main content
Skip to main content

Hasira ya wazazi Kisii baada ya wanafunzi kupata alama za D na E KCSE

  • | Citizen TV
    6,314 views
    Duration: 2:54
    Kizazaa kilizuka mapema leo katika shule ya upili ya Raganga kaunti ya Kisii baada ya wazazi kuandamana na kufunga ofisi za mwalimu mkuu wa shule hiyo baada ya matokeo mabaya ya KCSE. Wazazi hawa wakiwa na ghadhabu baada wanafunzi wote wa shule hiyo kupata alama D na E . Walimu waliokuwa shuleni walilazimika kukimbilia usalama wao.