Skip to main content
Skip to main content

Majaji wapya watafutwa; Ahmed Isaack Hassan na Profesa Akech Migai wakiwania nafasi 35

  • | Citizen TV
    1,072 views
    Duration: 2:48
    Shughuli ya kuwahoji waliotuma maombi ya kuwa majaji wa mahakama kuu na ile ya rufaa imeanza. Mwenyekiti wa mamlaka ya kuangazia utendakazi wa Polisi IPOA Ahmed Isaak Hassan na mchanganuzi wa maswala ya Katiba Profesa Migai Akech, ni miongoni mwa wale wanaotaka kuteuliwa kuwa majaji wa mahakama ya rufaa.