Skip to main content
Skip to main content

Jason Mutahi ashinda shilingi milioni mbili kwenye shindano la Jipange na Viusasa

  • | Citizen TV
    191 views
    Duration: 1:07
    Baada ya miezi miwili ya shindano la Jipange na Viusasa, Jason Mutahi, mkazi wa Ngong katika Kaunti ya Kajiado, ameibuka mshindi mkuu baada ya kujishindia shilingi milioni mbili.