Skip to main content
Skip to main content

Mechi tatu za ligi kuu ya Kenya ziratibiwa upya kabla ya raundi ya 17 wikendi

  • | Citizen TV
    180 views
    Duration: 1:17
    Mechi tatu za ligi kuu ya Kenya zitachezwa kesho na alhamisi kabla ya mechi za raundi ya 17 zilizopangwa wikendi. Mechi hizo tatu zilizoratibiwa upya zikihusisha timu ya polisi dhidi ya Mara Sugar, KCB dhidi ya Nairobi united na Gor Mahia dhidi ya Murang'a seal.