Skip to main content
Skip to main content

Ukosefu wa maji Pate

  • | Citizen TV
    169 views
    Duration: 3:08
    Wakaazi wa kijiji cha Kizingitini Kisiwa cha Pate kaunti ya Lamu wanalazimika kuosha maiti za wapendwa wao kwa kutumia maji ya bahari kufuatia tatizo la ukosefu wa maji unaoshuhudiwa eneo hilo. Wenyeji Kizingitini hutegemea maji ya mvua yanayohifadhiwa kwenye mabirika au majabia ila ni muda sasa mvua zimekosa kunyesha.