Skip to main content
Skip to main content

Familia Mombasa yafuatilia serikali baada ya jamaa wao kupotea Urusi tangu Novemba

  • | Citizen TV
    1,172 views
    Duration: 2:22
    Familia moja mjini Mombasa sasa inataka majibu kutoka kwa serikali baada ya jamaa yao aliyeelekea Urusi kwa kazi kupoteza mawasiliano. Familia ya Arrestus Kiti Nyale kutoka eneo la Junda huko Kisauni, inasema jamaa yao aliwaarifu kuwa alikuwa urusi kujiunga na jeshi, ila sasa imekuwa miezi mitatu bila mawasiliano