- 834 viewsDuration: 3:56Hali tete inaendelea kushuhudiwa miongoni mwa watahiniwa wa somo la ishara kwenye mtihani wa kitaifa wa KCSE 2025, baada ya alama za wenzao waliotahiniwa katika somo hilo kukosa alama zao. Kulingana na wazazi, uamuzi wa baraza la mitihani KNEC kukosa kuzihesabu alama za somo hilo, kumewafungia wengi nafasi za kujiunga na vyuo vikuu