Skip to main content
Skip to main content

Serikali kuu na ya kaunti kuazisha miradi ya ksh.50b Lamu

  • | Citizen TV
    525 views
    Duration: 2:54
    Miradi yenye thamani ya Zaidi ya shillingi billioni 50 imewekezwa katika kaunti ya Lamu .Miradi hii ikiwemo ya viwanda itafungua uchumi wa Lamu na kutoa nafasi nyingi za ajira.