Skip to main content
Skip to main content

Wakulima Kisumu wapoteza mamilioni kutokana na uvamizi wa nyuni katika mashamba ya mpunga

  • | Citizen TV
    515 views
    Duration: 2:27
    Wakulima wa mpunga katika kaunti ya Kisumu wanakadiria hasara ya mamilioni ya pesa, kutokana na uvamizi wa nyuni. Kwa sasa, jumla ya ekari 94 za mpunga zimeharibiwa chini ya muda wa siku kumi