Skip to main content
Skip to main content

Waathiriwa wa mkasa wa moto Mukuru waomba msaada kugharamia mazishi ya wapendwa wao

  • | KBC Video
    205 views
    Duration: 1:36
    Wakazi wa mtaa wa Mukuru Kwa Reuben jijini Nairobi waliopoteza mali na wapendwa wao katika mkasa wa moto wa hivi majuzi wameiomba serikali iwasaidie kugharamia mazishi ya wapendwa wao. Haya yalibainika wakati viongozi wa Kaunti ya Nairobi walipowatembelea waathiriwa. Viongozi hao walitoa msaada kwa waathiriwa. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive