Skip to main content
Skip to main content

Biashara I Benki ya Co-operative kutoa mafunzo kidijitali

  • | KBC Video
    51 views
    Duration: 2:20
    Benki ya Cooperative imezindua aina tofuati za mipango ya mafunzo kuhusu huduma za fedha kupitia mitandaoni,ikilenga wanafunzi,watalaamu chipukizi na wajasiria mali kote nchini. Madhumuni ya mpango huo ni kuwapa vijana maarifa kuhusu jinsi ya kupanga bajeti,uwekaji akiba,uwekezaji na uzalishaji mali.Kwa habari hizi na nyingine ni katika habari zetu za biashara. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive