Skip to main content
Skip to main content

Wakazi wa Gatuzi dogo la Msambweni wanufaika na mradi wa maji

  • | Citizen TV
    91 views
    Duration: 1:45
    Wakaazi katika Gatuzi dogo la Msambweni Kaunti ya Kwale wamenufaika na mradi wa maji uliofunguliwa na Gavana Fatuma Achani hivi karibuni. Mradi huo unalenga kupunguza tatizo la maji lililoshuhudiwa kwa muda mrefu