Skip to main content
Skip to main content

Gavana wa Kiambu adai maisha yake yako hatarini

  • | KBC Video
    723 views
    Duration: 1:25
    MASAIBU YA WAMATANGI Gavana wa kaunti ya Kiambu Kimani Wamatangi amedai maisha yake yamo hatarini. Akiongea katika kaunti ya Kiambu, Wamatangi alidai lipo gari ambalo lilikuwa likifuatilia mienendo yake jijini Nairobi alilokuwa akitekeza majukumu yake rasmi. Wamatangi anamrai Inspekta Jenerali wa polisi Douglas Kanja, kuchukua hatua kumlinda akidai waliokuwa kwenye gari hilo walikuwa na nia ya kumdhuru. #Darubini Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive