Skip to main content
Skip to main content

IGAD imependekezwa kuanzishwa kwa visa moja ya kidijitali kwa nchi wanachama

  • | NTV Video
    990 views
    Duration: 1:37
    Mamlaka ya Maendeleo ya Nchi za Pembe ya Afrika, IGAD, imependekeza kuanzishwa kwa Viza Moja ya Kidijitali kwa nchi wanachama na raia wa mataifa ya nje ya kanda ili kurahisisha safari, kukuza utalii, na kuvutia uwekezaji. Subscribe to NTV Kenya channel for latest Kenyan news today and everyday. Get the Kenya news updates, discussions and other exciting shows. Website: ntvkenya.co.ke || Paper: Daily Nation || Twitter: @ntvkenya || Facebook: NTV Kenya || Instagram: NTV Kenya