Skip to main content
Skip to main content

Jaji wa Mahakama ya Upeo Njoki Ndungu pamoja na Hakimu Mkuu Everylne Olwande waapishwa

  • | Citizen TV
    2,468 views
    Duration: 1:37
    Jaji wa Mahakama ya Upeo Njoki Ndungu Pamoja na Hakimu Mkuu Everylne Olwande, wameapishwa hii leo kuwa makamishna wa tume ya huduma za mahakama kwa muhula wa miaka mitano katika hafla iliyohudhuriwa na Jaji Mkuu martha Koome.