Skip to main content
Skip to main content

Je, video hii ya vikosi vya Iran vikiteka meli imepangwa?

  • | BBC Swahili
    25,324 views
    Duration: 1:43
    BBC Verify imechambua video iliyotolewa na vyombo vya habari vya serikali ya Iran, inayoonyesha Kikosi cha Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) kikivamia meli mbili za mizigo katika Mlango wa Hormuz. Video hiyo inaonyesha boti ndogo zenye wanaume waliofunika sura zao na silaha wakikaribia meli za MSC Francesca na Epaminondas. Uchambuzi wa BBC Verify unaonyesha kuwa baadhi ya sehemu za video hiyo zinaonekana kurekodiwa saa kadhaa baada ya meli hizo kuripotiwa kutekwa na vikosi vya Iran. Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw