Skip to main content
Skip to main content

Maafisa wa NACADA wanasa pombe yenye thamani ya Ksh.13m kaunti ya Machakos

  • | Citizen TV
    268 views
    Duration: 1:20
    Maafisa wa Mamlaka ya kupambana na mihadarati na dawa za kulevya nchini NACADA wamenasa pombe haramu yenye thamani ya shilingi milioni 13 katika soko la Kabaa kaunti ya Machakos .